Kituo hiki kinahudumia haswa Waislamu wanaozungumza Kihispania na kinataka kuangazia uhusiano wa kihistoria kati ya Uislamu na Wahispania.
Kituo cha «Alif» cha Sayansi (Elimu) ya Kiislamu kilitangaza kwamba kitatoa rasilimali kadhaa kwa wale wanaopenda Uislamu na Waislamu wapya wanaozungumza Kihispania ili kugundua kilichowaongoza katika safari yao ya kiroho ya kutafuta (ukweli na uhakika).